Matthew 1:21

21 aNaye atamzaa mwana, nawe utamwita Jina lake Isa,
Isa ni Iesous kwa Kiyunani, na kwa Kiebrania ni Yoshua au Yeshua. Maana yake ni Yehova ni wokovu.
kwa maana yeye ndiye atakayewaokoa watu wake kutoka dhambi zao.”

Copyright information for SwhKC